reduce

vt,vi ~ (to) 1 (lessen) shusha; punguza; teremsha ~ one's expenditure punguza matumizi. 2 (subdue) lazimisha ~ to silence nyamazisha ~ to submission tiisha be ~d to begging lazimishwa kuombaomba. ~ to the rank nyang'anya cheo. 3 (change) geuza umbile (kwa kuponda, kusaga, kusindika) ~ wood logs to pulp sindika magogo. reducible adj. reduction n 1 kupunguza; kupunguka; upungufu price reduction upunguzaji wa bei. 2 (maps, photograph, etc) kupunguza (ukubwa). 3 nakala ndogo. reductio ad absurdum n 1 (Latin) kukanusha hoja kwa kubeza; kugeuza/ kuonyesha kuwa hitimisho fulani ni upuuzi.