rag

rag

1 n 1 kitambaa (cha kusafisha). 2 tambara. the ~ trade n (sl) biashara ya kutengeneza na kuuza nguo. 3 kitu kilichochakaa; mabaki ya kitu. rag-bag n mfuko wa matambara; mchanganyiko wa vitu; (sl) mtu aliyevaa ovyo. 4 matambara ya kutengenezea karatasi. 5 (used contemptuously) gazeti. ragamuffin n mtu/mtoto mchafu. ragged adj 1 (of clothes) -liopasuka, -liotatuka, lioraruka. 2 -sio sawa, -sio kamili. 3 -enye umbo/pande -sio sawa. raggedness n. raggedly adv.

rag

2 vt,vi tania; dhihaki, piga makelele n (colloq) makelele yenye fujo; sherehe/maandamano yenye makelele na shamrashamra nyingi. ~day n siku ya sherehe ya wanafunzi (agh. mara moja kwa mwaka) yenye lengo la kutafuta pesa kwa ajili ya kuwasaidia wenye matatizo.