punish

vt 1 ~ somebody (with/by something) (for something) adhibu; adhibisha. 2 chakaza; (boxing) twanga ngumi. 3 (colloq) kula/ kunywa/tumia sana. ~ an opponent shinda vibaya; twanga. ~ a dish kula kwa hamu kubwa. punishable adj -a kustahili adhabu, -a kupasiwa adhabu. punishment n 1 adhabu administer ~ment tekeleza adhabu, timiza adhabu. capital ~ n adhabu ya kifo corporal ~ adhabu ya viboko. punitive/punitory adj -a adhabu, -a kuadhibu.