procure

vt,vi 1 pata, patia. 2 (arch) sababisha, leta. 3 kuwadia, tuma. procurable adj. procurement n. procuration n 1 wakala; uwakala. 2 tendo lililoidhinishwa na mwanasheria, uteuzi wa wakala. 3 kukuwadia; ukuwadi. procuratory n uwakili. ~ n kuwadi. procuress n kuwadi wa kike. procurator n 1 wakili. 2 procurator fiscal n mwendesha mashtaka.