prick

n 1 mchomo, maumivu (yatokeayo baada ya kuchomwa na sindano, mwiba, n.k.). kick against the ~s (fig) jiumiza, jisumbua bure. 2 alama/kitundu/kitobo (kitokeacho baada ya kuchomwa na sindano, mwiba, n.k.). 3 kitu kilichochomoza na chenye ncha kali k.m. pembe. 4 (vulgar) mboo (term of abuse) you silly ~ mpumbavu we!. vt,vi 1 choma (fig) his conscious ~ed him dhamira yake ilimsuta/umiza. 2 toboa ~ a hole in something toboa tundu. 3 hisi maumivu makali (kutokana na) kuchomwa au kutogwa. 4 ~ something out/off atika, pandikiza katika kitu. 5 ~ up one's ears simamisha masikio, sikiliza kwa makini. prickle n mwiba. vt,vi 1 chomachoma, washa. prickly adj 1 -enye kuchomachoma; -enye miiba. ~ ly pear n mpungate. 2 ~ly heat n vipele vya harara. 3 (colloq) -enye kuudhika haraka; -enye harara.