presence-chamber

n baraza/sebule kuu (wanamopokelewa watu wa heshima). 2 sura, umbo; namna mtu anavyojichukua au anavyoonekana. vt 1 ~ something to somebody; ~ somebody with something toa, unukia, tuza ~ a cheque at the bank (for payment) toa hawala katika benki (kwa kulipwa fedha). 2 fichua, onyesha, dhihirisha. 3 ~ somebody to somebody tambulisha rasmi. 4 (arms) ~ something at somebody lenga. 5 (mil) ~ arms toa heshima (kwa silaha). 6 (reflex) hudhuria, fika. 7 (theatre) onyesha n zawadi, tuzo. give away a ~, make somebody a ~ of something tunukia, zawadia. ~ee n anayefikishiwa/anayepewa/tunukiwa zawadi. ~er n mtangazaji (wa kipindi cha redio/TV); mtoa zawadi. ~ation n 1 kupa, kutoa, kuwasilisha. payable on ~ation -liopasa kulipwa kwa kutoa kitu. 2 tuzo, zawadi (hasa iliyotolewa mbele ya watu). 3 maonyesho.