predestinate

vt see predestine. ~ adj -liojaaliwa, -lioamuliwa/andikwa kabla. predestination n majaaliwa; nadharia ya kwamba yote yatokeayo ni maamuzi ya Mungu na binadamu hana utashi nayo; nadharia ya kwamba Mungu ameamua kuwa wengine watakwenda mbinguni na wengine motoni. predestine vt ~ somebody to something/to do something (of God, fate) amua kabla; amulia kabla.