pot
pot
1 n 1 chungu; sufuria. teapot n birika la chai chamber ~ poti. 2 (fig) a big ~ n (colloq) kizito, mtu maarufu. 3 (games) (colloq) kikombe. 4 (sl) bangi. 5 (colloq) kiasi kikubwa. ~ s of money pesa kibao. 6 (phrases and proverbs) go to ~ (sl) haribika.keep the ~ boiling -wa na fedha kusogeza siku; fanya jambo liendelee.take ~ luck chukua kilichopo, bahatisha. the ~ calling the kettle black nyani haoni kundule/mandole. 7 (comp) pot-bellied adj (of a person) -enye kitambi; (of a stove) -enye kitako cha mviringo. pot-belly n kitambi, kitumbotumbo. pot-boiler n kitabu chapwa (cha kutafutia pesa tu). pot-bound adj (of a plant) -enye mizizi tele. pot-boy; ~-man n (hist) mhudumu katika baa. ~-hat n (sl) kofia mviringo. pothead n (sl) mvuta bangi. ~ herb n kiungo. pot-hole n shimo barabarani; shimo refu katika mwamba. pot-house n (arch) kilabu (ya pombe). ~ - hunter n msasi anayeua chochote anachokikuta msituni kwa kufikiria chakula au faida tu; mtu anayeingia katika mashindano kwa ajili ya kupata zawadi tu. ~ roast n nyama iliyokaushiwa chunguni. ~ shot n kupiga (risasi) ndege/mnyama aliye karibu. ~ -trained adj (of a small child) -liofunzwa kutumia poti. potter n mfinyanzi. ~ter's wheel n gurudumu la mfinyanzi. pottery n 1 vyombo vya udongo. 2 ufinyazi, mahali pa kufinyanga.pot
2 vt,vi 1 hifadhi (nyama, samaki n.k.) katika chungu. 2 ~ (up) pandaa chungu. 3 piga risasi mnyama bila kulenga shabaha, ua kwa njia hiyo. 4 (billiards) ingiza mpira kwenye kishimo. 5 (colloq) weka (mtoto) kwenye poti.