possess

vt 1 miliki, -wa na, hodhi. 2 tawala, shika fear ~ed him hofu ilimtawala. 3 ~ oneself of (arch) miliki. be ~ed of wa na. 4 be ~ed pagawa, wa na pepo be ~ed by the devil -wa na shetani. 5 shughulisha. possession n 1 kumiliki; mali, miliki take ~ shika, twaa, kamata. 2 kupagawa/kupandwa na pepo. 3 (pl) possessions mali. possessive adj 1 -a kumiliki, -enye tamaa (ya kumiliki), -enye tamaa ya kuweka kwenye kiganja. 2 (gram) milikishi, -enye kuonyesha kumiliki.