pool

pool

1 n 1 dimbwi. 2 swimming ~ n bwawa la kuogelea. 3 kilindi cha mto.

pool

2 n 1 (gambling) fedha zilizowekwa poni na wacheza kamari. football ~ n kamari ya kutabiri matokeo ya mpira. 2 mpango wa kubia biashara na kugawana faida (ili kuepuka ushindani). 3 (US) aina ya biliadi. 4 fedha/huduma za kuchangia; mchango wa ubia. vt changa/changizana; fanya ubia.