poke

vi,vt 1 sukuma, piga kikumbo; tia mdukuo. 2 chochea, choma,sukumiza ~ the fire chochea moto. ~ fun at dhihaki. 3 chakura; tomasa. 4 dukiza. ~ one's nose into somebody's business jidukiza katika mambo ya watu. 5 ~ (about) papasapapasa kwa kutafuta. 6 fanya shimo kwa kudukua, kuchakura. n msukumo, kikumbo, mdukuo. ~r n mchokoo wa chuma.