ply
ply
1 n (layer) 1 tabaka (la mbao au kitambaa). three ~ -wood tabaka kadhaa zilizogundishwa. 2 (strand) uzi ~ wool for knitting sufu ya nyuzi tatu (katika ufumaji).ply
2 vi 1 fanya kazi. 2 enda na kurudi mara kwa mara. 3 ~ a trade fanya biashara. ~ somebody with pa/lisha/nywesha kila wakati. 4 shambulia kwa maneno.