pip
pip
1 n the ~ ugonjwa wa makamasi (wa kuku); (fig) maudhi; hasira. give somebody the ~ kasirisha, chukiza. have the ~ -wa na hasira.pip
2 n 1 alama katika dadu/karatasi. 2 (GB colloq) nyota (katika bega la vazi la askari). 3 mlio wa kuonyesha majira the six ~s of the time-signal milio sita ya kuashiria wakati.pip
3 vi,vt 1 piga risasi. 2 shinda. be ~ ped at the post shindwa mwishoni kabisa.pip
4 n mbegu ya tunda/chungwa. vt ondoa mbegu (kwenye tunda).