pinch

vt 1 finya he ~ ed his brother alimfinya kaka yake. 2 bana sana my finger was ~ed in the door kidole changu kilibanwa mlangoni. see where the shoe ~s ona tatizo lilipo. 3 umia, pata athari ya be ~ed with cold/hunger banwa na baridi/njaa. be ~ed for money kosa fedha. 4 (colloq) iba, dokoa. 5 -wa bahili; bana matumizi. 6 (sl) (of the police) kamata, bamba. n 1 mfinyo give somebody a ~ finya mtu. 2 shida, mashaka, dhiki feel the ~ -wa katika mashaka/dhiki. 3 mfinyo; kiasi kidogo. 4 at a~; if it comes to the ~ ikibidi; ikiwa hakuna budi.