1 n kidonge, tembe take a ~ meza kidonge. sweeten/sugar the ~ punguza makali, lainisha mambo. ~ box n mkebe wa vidonge; (mil) ngome ndogo (chini ya ardhi). 2 the ~ n kidonge cha kuzuia mimba. be/go on the ~ anza kutumia vidonge vya kuzuia mimba.