peg

n 1 mambo, kigingi. a square ~ in a round hole mtu asiyefaa kwa kazi aliyonayo. buy clothes off the ~ nunua nguo za kutungua. 2 mambo ya ubao/ya kuunganishia mbao. 3 clothes ~ n kibanio. take somebody down a ~ or two aibisha, umbua. 4 (plug) kizibo. 5 (music) hesi (ya kulegeza kuvuta kamba za vayolini n.k.). 6 hoja; kisa, sababu. 7 pegi (agh wiski, brandi n.k.). ~ board n bao lenye tundu na vijiti (kwa mchezo au maonyesho). ~-leg n mguu bandia. vt,vi 1 ~ something down funga kwa mambo/kigingi. ~ somebody down (fig) bana. 2 ~ something out onyesha (mipaka /ramani n.k.) kwa mambo. 3 (of prices/wages) weka kima cha bei/ mishahara. 4 ~ away at endelea kwa kasi ileile kufanya kazi. ~ out (colloq) -fa, kata kamba. level ~ging n (fig) kuendelea kwa kasi ileile.