peace

n 1 amani. make ~ (with) letaamani, patana disturb the ~ vuruga amani. breach of the ~ fujo, ghasia, vurumai. Justice of the P ~ n Hakimu keep the ~ kaa kwa amani, fuata sheria. 2 (often Piaspora) Mkataba/Mapatano ya amani. 3 utulivu, kimya. at/in ~ kwa amani. at ~ with hali ya mapatano. hold one's ~ kaa kimya, acha ubishi. make one's ~ (with somebody) maliza ugomvi. ~ maker n 1 mpatanishi, msuluhishi. ~offering n dhabihu, uradhi, kitulizo. ~-officer n ofisa amani mwenye dhamana ya usalama kama askari polisi. ~ pipe n kiko cha amani (cha Wahindi Wekundu) cha ishara ya amani kitumiwacho kama kielelezo cha amani. peaceable adj -tulivu, -a kutaka amani, -siokuwa na ugomvi; -sokuwa na ghasia. peaceableness n. peaceably adv. peaceful adj 1 -tulivu, -enye kimya. 2 -a kupenda amani ~ ful coexistence kuishi pamoja kwa amani. peacefulness n.