offence/offense

n 1 an ~ against kosa, dhambi, hatia; kuvunja sheria an ~ against the law uvunjaji wa sheria be convicted of an ~ onekana na kosa. capital ~ n kosa lenye adhabu ya kifo. 2 uchungu, chuki. give/cause ~ (to somebody) chukiza (mtu). take ~ (at something) chukizwa (na mtu). no ~! niwie radhi. 3 mashambulizi weapons of ~ silaha za kushambulia. 4 kitu kinachoudhi/ chukiza/kera. ~less adj. offend vi,vt 1 offend against kosa; kosea. 2 chukiza, udhi; tia uchungu. 3 kasirisha, udhi. offender n mkosaji, mhalifu.offensive adj 1 -a kuchokoza; -a kuchukiza; -baya. offensive odour n harufu mbaya offensive to the morals of the community -a kuvunja murua wa jamii offensive words matusi, maneno ya kuchukiza. 2 -a kukasirisha. 3 (attacking) -a kushambulia, -a shari, -a kutaka vita offensive weapon silaha ya kudhuru. n shambulio, mashambulizi. take the offensive anzisha/leta vita/ mashambulizi. peace offensive n kampeni ya kuleta amani. offensively adv. offensiveness n.