oblige

vt 1 ~ somebody to do something lazimisha/taka mtu aahidi/ afanye jambo. 2 be ~d to do something shurutishwa, lazimishwa we were ~d to shut the window tulilazimishwa kufunga dirisha. 3 fadhili ~ me by closing the door nifanyie hisani unifungie mlango/tafadhali ufunge mlango. Iam much ~d to you nakushukuru sana. obligate vt obligate somebody to do something wajibisha he was obligated to help me aliwajibika kunisaidia. obligation n 1 wajibu, faradhi, sharti undertake an obligation wajibika meet one's obligation timiza wajibu. 2 ahadi, lazima. 3 deni. put/be under an obligation shurutisha; fadhili (ili naye aone anadaiwa). obligatory adj -a lazima, -a kujuzu, -a wajibu.