n 1 notisi, taarifa, tangazo put a ~ in the newspaper tangaza gazetini a ~ of marriage tangazo/taarifa ya ndoa. ~-boardn ubao wa matangazo our employer has given us a month's ~ mwajiri wetu ametupa notisi ya mwezi mmoja ya kusimama kazi a tenant was given ~ to quit mpangaji alipewa notisi ya kuhama nyumba. do something at short ~ fanya jambo bila kupata nafasi ya kujiandaa. 2 kuweka maanani, kufahamika. be beneath one's ~ wa kitu cha kutotiwa/wekwa maanani. bring something to somebody's ~ fahamisha mtu jambo fulani. come to somebody's ~ arifiwa/tambua/pata habari sit up and take anza kupata ahueni. make somebody sit up and take ~ amsha. take no ~(of something) tojali, toangalia kwa makini. 3 uhakiki wa kitabu/mchezo mpya n.k. katika jarida. vt,vi 1 angalia, fahamu, ona. 2 hakiki. ~ ableadj -a kuonekana kwa urahisi. noticeablyadv. notifyvt julisha, arifu, tangaza. notificationn kutaarifu; taarifa. notifiableadj liolazimu kujulishwa (hasa magonjwa yanayopaswa kujulishwa kwa vyombo vinavyo husika).