north

n 1 kaskazini. the ~ n upande wa kaskazini, nchi za Kaskazini. 2 (attrib) -a kaskazini N~ Pole Ncha ya kaskazini ~ winds kaskazi. northeast n kaskazini mashariki. northwest n kaskazini magharibi. the N~-West Passage n njia ya baharini kutoka Atlantiki mpaka Pasifiki (kupitia Kaskazini ya Kanada na Alaska). north-easter n upepo kutoka kaskazini mashariki. north-eastern adj -a kaskazini mashariki. north-eastward adj (-a) kuelekea kaskazini mashariki. north-western adj -a kaskazini magharibi. northerly adj (of winds) -a kaskazini adv (of wind) kaskazini. ~ wards adj -a kuelekea kaskazini. northern adj -a kaskazini. the ~ern lights n miali ya kaskazini ya dunia. northerner n mwenyeji/mkazi wa sehemu ya kaskazini mwa nchi. ~ ernmost adj -a kaskazini kabisa.