nod

vt,vi 1 ~ (to/at) kubali/amkia kwa kichwa. 2 ~ (off) sinzia; angusha kichwa kwa kusinzia. Homer sometimes ~s (prov) hata mtu ashuhuri hufanya kosa. 3 ashiria kwa kichwa. n 1 ishara ya kichwa. 2 the Land of N~ n usingizi. 3 on the ~ (US sl) kwa mkopo.