night

n 1 usiku. ~ after night kila usiku uchao. all ~ (long) usiku kucha. ~ and day usiku na mchana, kutwa kucha. at ~ usiku. by ~ wakati/majira ya usiku. get a ~ off pumzika kazi ya usiku. last ~ usiku wa kuamkia leo. tonight leo usiku, usiku huu. have a bad ~ lala vibaya. good ~! alamsiki. have a ~ out enda kutembea jioni. make a ~ of it kesha kwenye starehe. ~ into day fanya kazi ya mchana usiku. work ~s fanya kazi usiku. 2 (compounds) ~ bell n kengele ya kumwamshia daktari usiku. night-bird n bundi; mtu atembeaye usiku, mzururaji. ~ cap n kofia ivaliwayo usiku; (usu alcoholic) kinywaji cha kulalia. nightclub n klabu ya usiku. ~-dress; ~ie; ~y n (colloq) vazi (la kike) la usiku. ~ fall n kuchwa, utusitusi. ~ jar n upwaju. nightlife n starehe za usiku. ~ -light n taa ndogo iwakayo kucha. ~ -long adj -a usiku kucha. nightmare n jinamizi. ~ safe n kisanduku cha benki (cha kuwekea amana usiku). ~-school n masomo ya jioni. ~-shade n mtunguja. nightshirt n shati refu (la kiume) la kuvaa usiku. ~-soil n choo kizolewacho usiku. night-time n usiku. night-watch n mkeshaji; zamu ya kukesha. in the ~ -watches wakati wa mkesha. night-watchman n mlinzi wa usiku, korokoroni. nightly adj,adv -a usiku, -a kila usiku; kila usiku.