n 1 usiku. ~ after night kila usiku uchao. all ~ (long) usiku kucha. ~ and day usiku na mchana, kutwa kucha. at ~ usiku. by ~ wakati/majira ya usiku. get a ~ off pumzika kazi ya usiku. last ~ usiku wa kuamkia leo. tonight leo usiku, usiku huu. have a bad ~ lala vibaya. good ~! alamsiki. have a ~ out enda kutembea jioni. make a ~ of it kesha kwenye starehe. ~ into day fanya kazi ya mchana usiku. work ~s fanya kazi usiku. 2 (compounds)~ belln kengele ya kumwamshia daktari usiku. night-birdn bundi; mtu atembeaye usiku, mzururaji. ~ capn kofia ivaliwayo usiku; (usu alcoholic) kinywaji cha kulalia. nightclubn klabu ya usiku. ~-dress; ~ie; ~yn(colloq) vazi (la kike) la usiku. ~ falln kuchwa, utusitusi. ~ jarn upwaju. nightlifen starehe za usiku. ~ -lightn taa ndogo iwakayo kucha. ~ -longadj -a usiku kucha. nightmaren jinamizi. ~ safen kisanduku cha benki (cha kuwekea amana usiku). ~-schooln masomo ya jioni. ~-shaden mtunguja. nightshirtn shati refu (la kiume) la kuvaa usiku. ~-soiln choo kizolewacho usiku. night-timen usiku. night-watchn mkeshaji; zamu ya kukesha. in the ~ -watches wakati wa mkesha. night-watchmann mlinzi wa usiku, korokoroni. nightlyadj,adv -a usiku, -a kila usiku; kila usiku.