music

n muziki (attrib) ~ lesson/ ~teacher somo/mwalimu wa muziki. face the ~ kabili matatizo/ wahakiki/shutuma kijasiri. set/put something to ~ tunga/tia sauti (ya muziki). ~ box n kisanduku cha muziki. ~-hall n (GB) ukumbi wa maonyesho. ~-stand n dawati la kuimbishia. ~ stool n kigoda cha mpiga kinanda. musical adj -a muziki, -enye kipaji cha muziki; -a kupenda muziki. ~-chairs n mchezo wa viti na muziki. ~ comedy n 1 komedi yenye muziki. 2 sinema yenye muziki. musically adv. musician n mwanamuziki. musicianship n ustadi wa muziki.