muse

vt muse (over/on/upon) fikiri; tafakari, waza, taamali. n 1 taamuli. musingly adv Muse n (GK myth) mungu wa kike (kati ya watoto tisa wa Zeus waliolinda na kuendeleza ushairi, nyimbo, dansi n.k.). 2 kipaji/kipawa cha mshairi.