vt,vi~ (for/over) huzunika; omboleza; lilia huzunikia. mournern mwombolezaji. mournfuladj -enye huzuni/majonzi. mournfullyadj kwa majonzi, kwa huzuni. mourningn 1 huzuni, majonzi, kilio, msiba. 2 go into/be in ~ing anza kwenda eda/kuvaa nguo za kufiwa (nyeusi)/msiba. ~ing bandn utepe wa msiba. ~ing-ringn pete ya ukumbusho wa marehemu.