more

adj 1 zaidi. neither ~nor less si zaidi wala si pungufu. 2 no ~ hakuna tena zaidi what ~? nini tena. 3 a little ~ kiasi kidogo zaidi (of food) have some ~ ongeza (chakula) have you any ~ apples unayo matofaa mengine? I have some ~ nina mengine kuzidi; (of epidemics) ~ outbreaks milipuko zaidi ~ than enough zaidi kupita kiasi ~ than kuliko, zaidi ya, fauka ya see ~ of somebody ona mtu mara nyingi adv 1 zaidi and what is ~ zaidi ya hayo you need to rest ~ unapaswa kupumzika zaidi ~ beautifully kwa vizuri zaidi the ~ zaidi you should work ~ fanya kazi zaidi. be no ~ -fa, isha grow/be/get ~ zidi kuwa. 2 tena, once ~ rudia tena/mara nyingine we saw him no ~ hatukumwona tena. 3 ~ or less takriban, kwa kadiri. 4 ~ and ~ kwa hatua, zaidi na zaidi. no ~ than si zaidi ya n zaidi, nyongeza. moreover adv aidha, zaidi ya.