moon
moon
1 n 1 the ~ mwezi full ~ mwezi mpevu new ~ mwezi mchanga. once in a blue ~ (colloq) mara chache tu. cry for the ~ taka sana kitu kisichowezekana. promise somebody the ~ toa ahadi nyingi. 2 (compounds) moonbeam n mbalamwezi, mwali wa mwanga wa mwezi. moon-calf n 1 dubwana. 2 mpumbavu. ~-face n uso mviringo. moonlight n mbalamwezi. vi fanya kazi nyingine na kulipwa (wakati umeajiriwa kwingine). ~light night usiku wa mbalamwezi. a/no ~ -a/sio mbalamwezi. moonlit adj -liomulikwa na mwezi. ~ shine n mwanga wa mwezi; upuuzi; (sl US) gongo. 3 (poet) mwezi. moonless adj bila mbalamwezi; usiku wa giza. moonstone n kito rangi ya buluu yenye kijani kibichi. moonstruck adj -enye wazimu.moon
2 vi,vt 1 ~(about/around) zurura, susurika; zama ndotoni. 2 ~ away pitisha wakati ovyo. moony adj -enye kunyong'onyea.