mock

vt,vi 1 ~ somebody; ~ at somebody dhihaki. ~ing bird n ndege mwigo (anayeiga milio ya ndege wengine). 2 katisha tamaa. make a ~ of fanyia mzaha/dhihaki. mock-up n mfano wa kitu (kinachokusudiwa kutengenezwa); (printing) pesta mwigo; mzaha; dhihaka adj -a kuiga; -a mzaha; bandia; -siohalali ~ exam mtihani wa majaribio. mocker n. mockingly adv. mockery n dhihaka. mock-heroic n -enye kudhihaki ushujaa (katika fasihi).