medicine

n 1 sayansi na fani ya kuzuiana kutibu maradhi; uganga, tiba, udaktari. 2 dawa give ~ to -pa dawa, nywesha dawa. ~-ball n mpira wa babucheza. ~-chest n sanduku la dawa. ~-glass n bilauri ya dawa. 3 adhabu inayostahili. take one's ~ (fig) stahimili machungu/ adhabu. get a dose of one's own ~ fanyiwa kama ulivyomfanyia mwenzako. 4 uganga (wa kienyeji) practise ~ fanya uganga vt (arch) ponyesha; tibu. ~- man n 1 mganga. 2 mchawi. medic n (colloq abbr for medical student) mwanafunzi wa tiba/uganga. medical adj -a tiba, -a uganga, -a dawa to be under medical orders/ treatment endelea na matibabu, tibiwa medical man/practitioner daktari, mganga, tabibu medical examination uchunguzi wa kitabibu medical juris-prudence sheria za tiba n (colloq) mwanafunzi wa tiba; matibabu. medically adv. medicament n dawa. Medicare (US) n mpango wa serikali wa kutibu watu (agh. wazee). medicate vt tibu, tumia dawa, wekea dawa. medicated soap n sabuni yenye dawa. medicinal adj 1 -a dawa. 2 -a kuponya. medico n (colloq) daktari, mwanafunzi wa uganga.