matter

n 1 mata, maada. 2 maudhui. 3 machapisho/maandishi. postal ~ n waraka wa posta. printed ~ n vitabu, magazeti. reading ~ n -a kusomwa, vitabu n.k.. 4 jambo, kisa, hoja, habari defamatory ~ kiumbuzi, kashifa. ~ of fact n jambo la kweli (hakika). ~ -of-fact adj (of a person, his manner) -a kawaida; -lio baridi ~ of law jambo la sheria. subject ~ of course jambo la kawaida/kutarajiwa, desturi. ~-of course adj -a kutarajiwa; -a kutegemewa. no laughing ~ jambo zito, si mchezo, si masihara. no ~ haidhuru, mamoja what is the ~? kuna nini? a hanging ~ n kosa la kunyongwa leave the ~ hanging achia jambo hewani (bila ufafanuzi/jibu kamili) as ~s stood kama mambo yalivyokuwa. for that ~ ilivyo (to) make ~s worse vuruga/chafua mambo. 5 umuhimu, maana. with/be) no ~ haidhuru, si kitu, isio na maana/umuhimu. no ~ who/ what/where etc yeyote (awaye), chochote/lolote (litokealo). 6 be the ~ (with) -wa na. 7 (quantity, amount) kadiri, kiasi cha a ~ of 10 miles kadiri ya maili kumi. vi pasa, faa, -wa na maana/umuhimu it ~s a lot ni cha maana sana what does it ~ kwani ina umuhimu/maana gani?