log
log
1 n gogo la mti, kigogo like a ~ bila fahamu, bila kujitambua. sleep like a ~ lala fofofo. ~ cabin n nyumba ya magogo. ~ jam n mkwamo wa magogo yanayoelea majini; (US) mkwamo. ~ rolling n kuungana mkono. logging n ukataji miti.log
2 n 1 kipimamwendo wa meli baharini. 2 (also logbook) batli: kitabu chenye habari zote za safari ya merikebu (meli). 3 kitabu cha safari za ndege, gari n.k.; (colloq) kitabu cha usajili wa motakaa. vt andika katika batli.