link
link
1 n 1 pete (ya mnyororo). 2 (person or thing) kiungo missing ~ kiungo muhimu kinachokosekana; mnyama (kiungo) kati ya sokwe na binadamu. linkman n mtu wa kati; (in games) mchezaji (wa) kiungo. 3 kifungo (cha mkono wa shati). 4 kipimo cha urefu (sawa na sentimita 20). vt,vi ~ (up) unga; ungana; jiunga na; unganisha; husiana; husisha ~-arms unganisha mikono. linkage n; linkup n unganisho.link
2 n (hist) mwenge, tochi, taa. linkboy; linkman n mbeba mwenge/ tochi/taa. ~ man n mtangaza programu.