lime

lime

1 n ndimu. ~ tree n mdimu. ~ juice n juisi/maji ya ndimu.

lime

2 n 1 chokaa. 2 lime-kiln n tanuu, chomeo la chokaa. (bird) ~ n ulimbo. vt 1 paka kwa ulimbo. 2 nasa ndege kwa ulimbo. limelight n taa yenye nuru kali (kwenye jukwaa) he is fond of the ~ light apenda kujitokeza, kujionyesha mbele ya watu. be in the ~light wa maarufu, julikana. limestone n gange, mawe ya chokaa.