licence
; (US license) n 1 (permission) ruhusa, hati; leseni driving ~ leseni ya kuendesha gari teaching ~ hati ya kufundishia. on ~ n (GB) leseni ya kuuza vileo katika baa. off ~ n (GB) leseni ya kuuza vileo katika stoo (bila ruhusa ya kunywa hapo hapo), duka lenye vileo. 2 kupuuza sheria/kanuni/mila n.k.; ufisadi, kuutumia vibaya uhuru. poetic ~ n uhuru wa kishairi (wa kukiuka kanuni za kawaida za lugha). license (also ~). vt pa leseni shops ~d to sell alcohol maduka yenye leseni ya kuuza vileo ~ the hawker to sell clothes -pa mchuuzi leseni ya kuuza nguo. licencee n mtu mwenye leseni (hasa ya vileo). ~er n mtoa leseni. licentiate n mtaalam mwenye leseni/ cheti cha kazi yake. licentious adj -asherati; fisadi; -kware. licentiously adv. licentiousness n.