lace

n 1 (shoes) kamba. 2 lesi, gangiri, kimia. ~-glass n kioo chenye marembo. ~-pillow n mto wa kufuma lesi. vt,vi ~ (up) 1 funga viatu kwa kamba. 2 pamba nguo kwa lesi. 3 ~ something with something etc tia (pombe kali) kidogo n.k. 4 ~ into somebody piga mtu. lacing n. lacy adj -a kimia, -a lesi.