knee

n 1 goti. bring somebody to his ~s tiisha mtu. fall drop on one's ~s angukia (kwa kuomba msamaha). be on/go down on one's ~s piga magoti (kwa kuabudu). 2 sehemu ya nguo (agh suruali) inayofunika magoti. 3 (compounds) ~breeches n suruali fupi iliyofungwa chini ya magoti. ~ cap n pia ya goti/kifuu cha goti/kibandiko cha goti. knee-deep adj, adv -nayofikia magoti. kneecapping n kupiga risasi miguuni. ~high adj,adv -a magotini.