join

vt,vi 1 ~ something to something/ ~things together/up unga, unganisha ~ battle anza kupigana. ~ hands shikana mikono; (fig) ungana, shirikiana. ~ forces (with...) fanya kazi na, shirikiana na. 2 jiunga na, ingia ~ the university jiunga na/ingia chuo kikuu ~ the association jiunga na/ingia chama. ~ up (colloq) jiunga na jeshi. 3 ~ (somebody) in something ungana na, changanyika na, fuatana na the next group will ~ us tomorrow kikundi kingine kitaungana nasi kesho. n kiungo, fundo. joiner n seremala (agh. katika ujenzi wa nyumba). joinery n useremala (agh. wa shughuli za ujenzi wa nyumba). joint adj -a pamoja ~ account akaunti ya pamoja ~ communique taarifa ya pamoja during their ~ lives walipokuwa wanaishi pamoja. ~ly adv kwa pamoja. n 1 maungio 2 kiungo, fundo. out of ~t (of bones) teguka, shtuka. put somebody's nose out of ~ (fig) pindua; fadhaisha; komesha. 3 (of an ox, a sheep etc) pande la nyama (k.m. mguu, paja, mkono). 4 (sl) mahali pa kuchezea kamari, kunywea vileo au madawa ya kulevya. clip ~t n baa ya gharama kubwa. 5 (sl) sigara yenye bangi. vt 1 unganisha kwa kiungo. 2 gawanya kiungoni.