jaw

n 1 (lower/upper) ~ taya, utaya. jaw-bone n mfupa wa taya. ~-breaker n (colloq) neno gumu kutamka. 2 (pl) kinywa (sing) sehemu ya chini ya uso; taya la chini. 3 mwingilio wa bonde, pango (hasa wa mahali pa hatari) (fig) into/out of the ~s of the death ingia/toka kwenye hatari. 4 (pl) (machine) kibanio. 5 (colloq) kidomo, payo; soga kubwa. 6 (colloq) mahubiri/wasifu/hotuba ndefu na ya kuchosha. ~ (at) (colloq) piga domo; hubiri.