invalid

invalid

1 adj batili, -liotanguka; -a bure declare ~ futa (cheti, hati n.k.). invalidate vt fanya batili, batilisha, tangua. invalidation n. invalidity n.

invalid

2 adj 1 -gonjwa, -sio na nguvu, -siojiweza. 2 -nayofaa kwa wagonjwa ~ chair kiti cha kiwete. vi,vt tendea kama asiyejiweza ~ somebody home achisha mtu (hasa askari) kazi kwa ugonjwa n.k.