interogator

n mhojaji. interrogation n 1 masaili. interrogation point n alama ya kuuliza. 2 kuhoji, kuuliza, kusaili. 3 kutahini kwa mazungumzo. interrogative adj 1 -a kuuliza. 2 (gram) -a kuuliza interrogative pronouns (eg. who, which) viwakilishi vya kuuliza (k.m. nani, kipi). interrogatively adv. interrogatory adj -a kuuliza order of interrogatories amri ya maulizo.