adj 1 -a kisiwa. 2 -enye tabia kama za watu wa visiwani; (agh) -enye mawazo, maarifa n.k. finyu ya mumo humo tu. insularismn. insularityn. insulate (from)vt 1 funika kwa mpira, hami (ili nguvu ya umeme, joto isitoke n.k.). 2 tenga, kinga. insulatorn kihami. insulationn.