inflame

vt,vi 1 washa; waka; tia moto, choma. 2 hamasisha, tia hamaki, chochea; kasirisha. 3 (of sore etc.) vimba; vimbisha. inflammable adj 1 -a kuwaka, -a kuwashika; -a kuchomeka, -a kushika moto. 2 -a hamaki. inflammation n 1 mwako, moto. 2 (swollen place) uvimbeuchungu. inflammatory adj 1 (med) -enye uvimbe. 2 -a kuhamakisha/kuhamasisha/kuchochea.