infect

vt (with) ambukiza; eneza; chafua; (fig) athiri become ~ed ambukizwa; (of wound) ingiwa vidudu; (air, water) chafua. infection n 1 maambukizo, ambukizo; kuambukiza; kuenea; kuingia vidudu. 2 ugonjwa wa kuambukiza. 3 (fig) athari infectious adj 1 -a kuambukiza; -a kuenea. 2 (fig) -enye kushawishi/kuvutia.