indigo

n nili. ~ (blue) n bluu iliyoiva. indirect adj 1 -sionyooka, -a kuzunguka, sio dhahiri ~ rule utawala wa kuwatumia viongozi wananchi usio wa moja kwa moja ~ taxation kodi isiyo dhahiri. 2 -siokusudiwa, -siolengwa an ~ outcome matokeo yasiyokusudiwa. 3 (gram) ~ speech n kauli taarifa iliyotajwa. ~ object n yambiwa. ~ly adv. ~ness n.