incubate

vt,vi 1 atamia (mayai); atamiza mayai (kwa kutumia taa kubwa). 2 (of bacteria etc.) pevuka; pevusha, kuza. incubation n kuatamiza, kukuza incubation period muda wa kupevuka (agh. wa vijidudu vinavyoleta ugonjwa). incubator n kitamizi, kiangulio, kitotoa. incubative adj. incubatory adj.