import

vt ~ (from/into) 1 ingiza bidhaa kutoka nchi za nje. 2 maanisha, -wa na maana; onyesha. n (usu pl) 1 maduhuli: bidhaa ziingizwazo ~s & exports maduhuli na mahuruji: bidhaa zinazoingia na zinazotoka. 2 uingizaji. 3 maana, umuhimu matters of ~ mambo ya maana. importer n. importation n.