identify

vt 1 tambua; tambulisha. 2 ~ something with something fananisha. 3 ~ with somebody/ something jihusisha; tegemeza; shirikisha, funganisha. identification n. identity n 1 sura, kufanana, kuwa sawa kabisa give one's identity jitambulisha. identikit n sura ya mtu iliyochorwa (agh. ya mhalifu) prove one's identity thibitisha nafsi. identity card/disc/certificate n kitambulisho. 2 utambulisho.