hunt

n 1 a/the ~ kuwinda; mawindo. 2 msako, kutafuta the ~ for the criminals msako wa wahalifu. 3 (esp in GB) kundi la wawindaji (wa mbweha na paa) wanaotumia mbwa na farasi; mawindoni. ~ ball n sherehe rasmi ya wawindaji. hunter n mwindaji; farasi wa kuwindia. 4 saa ya mfukoni (yenye kifuniko cha chuma). hunting n kuwinda, uwindaji. (attrib) ~ ing horn n baragumu la kuwinda. ~ing ground n (fig) mawindoni: mahali penye mategemeo ya mtu kupata anachokitafuta. happy ~ ing ground (joc) mbinguni. huntress n (liter) mwanamke mwindaji. vi,vt 1 winda. 2 tafuta, saka. ~ for a lost pencil tafuta kalamu iliyopotea. ~ down saka, tafuta na pata ~ down a criminal saka mhalifu. ~ for/out/up tafuta. ~ out tafuta. 3 fukuza ~ the dog out fukuza mbwa. huntsman n 1 mwindaji. 2 kiongozi wa mbwa wa kuwindia.