hot

adj 1 -enye joto, -a moto it's ~ today leo kuna joto I like ~ tea napenda chai ya moto. be in/get hot into ~ water -wa matatani, aibika. be/get ~ under the collar kasirika/ pandwa mori. make a place/make it too ~ for somebody (fig) fanyia mtu visa mpaka ahame. 2 -kali this curry is ~ mchuzi huu ni mkali. 3 -a hasira; -a kisirani; -kali. he has a ~ temper ana hasira; mkali. be ~ on the trail of somebody/on somebody's tracks karibia windo (kinachofuatiwa). 4 (in hunting) (harufu) kali, bichi. 5 (of music, esp jazz) motomoto. 6 (sl) (of stolen goods) -sioweza kuuzwa hadharani, bomu. 7 (as adv) sasa. blow ~ and cold (fig) yumbayumba (katika uamuzi), shindwa kuwa na uamuzi. give it to somebody ~ adhibu/ karipia vikali. 8 -enye nyege. 9 (special use with nouns and particles) ~ air n maneno matupu/ ahadi za uongo. hotbed n tuta lenye mbolea au samadi, la kuotesha mboga; (fig) mahali penye maovu (mabaya, fitina) mengi. hotblooded n -enye harara (ya moyo), -a hamaki. ~ cross bun n keki yenye alama ya msalaba (inayoliwa Ijumaa Kuu). ~ dog n soseji katika mkate. hotfoot adv kwa bidii, enda upesi. ~gospeller n (colloq) mhubiri mwenye mhemko/bidii sana; hothead n mkaidi; mkali. ~ headed adj -enye harara, -kali; -kaidi. hothouse n kibanda (agh. cha kioo) cha kuoteshea maua na matunda. ~ line n simu ya moja kwa moja kati ya wakuu wa serikali mbalimbali. ~ money n mfuko wa fedha unaopelekwa mahali penye kupata riba kubwa. ~ news n habari motomoto. hotplate n kisahani cha jiko, jiko la kisahani kimoja. ~ potato n (fig) (colloq) jambo gumu au lisilopendeza kushughulikia; suala nyeti. ~ rod n (US sl.) gari lenye; mbio kuzidi magari yote. the ~ seat n kiti cha umeme (cha kunyongea); (fig) hali ya mtu ambaye analazimika kuamua mambo magumu (k.m. wakuu wa serikali). ~ spot n (colloq) sehemu yenye matatizo/fujo za kisiasa. ~ spring n chemchemi ya maji moto. ~stuff n (sl) mtu/kitu bora. ~tempered adj -enye hasira. ~water-bottle n mpira wa majimoto. vt,vi ~ something up (colloq) pasha moto; (fig) iva; shikwa na harara. hotly adv kwa harara, kwa hamaki.